Maandamano ya Oktoba 29 Hayakuwa Halali, TPBA Yatamka – Haki, Sheria na Uhalali Wajadiliwa
Haki, Sheria na Uhalali Wajadiliwa Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania (TPBA) kimetoa tamko lenye uzito kuhusu maandamano yaliyofanyika tarehe 29 Oktoba 2025, yakihusishwa na vurugu, uharibifu wa mali na uvunjaji wa sheria.Kupitia taarifa rasmi, TPBA imesisitiza kwamba maandamano hayo hayakuwa halali kisheria, ikitaja kuwa yalikiuka zuio la Jeshi la Polisi na kuathiri usalama wa … Read more