Heche Azungumzia Kwa Mara ya Kwanza Kuachiwa Kwao na Jeshi la Polisi – Video Mpya Yavuma Mitandaoni
Video Mpya Yavuma Mitandaoni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche, hatimaye amezungumza kwa mara ya kwanza baada ya kuachiwa na Jeshi la Polisi, akisisitiza kuwa hakuna makubaliano yoyote yaliyofanyika kati yao na polisi kuhusu kuachiwa kwao kwa dhamana. Akizungumza leo, Novemba 11, 2025, nje ya Kituo Kikuu cha Polisi … Read more