Fumbo La Mwili Wa Mwalimu Aliyeuawa Tanzania: Familia Yazidi Kutaabika
Familia Yazidi Kutaabika Familia moja kutoka Alego Usonga, Kaunti ya Siaya inakumbwa na majonzi makubwa baada ya mwalimu wao, John Okoth Ogutu, aliyeuawa wakati wa vurugu za uchaguzi nchini Tanzania, mwili wake kutopatikana hadi leo.Tukio hili limezua maswali mazito kuhusu usalama, haki, na uwajibikaji wa vyombo vya usalama Tanzania, likiwa miongoni mwa habari za mauaji … Read more