“Haki Msiniaibishe Nikose Tiketi,” Kalonzo Alilia Ngome Yake Ukambani – Uchaguzi wa Mumbuni Kaskazini Wamvuruga Wiper
Haki Msiniaibishe Nikose Tiketi Kiongozi wa chama cha Wiper Democratic Movement, Kalonzo Musyoka, amerudi tena kwenye uwanja wa siasa za Ukambani kwa nguvu, akisema mustakabali wa ndoto yake ya urais mwaka 2027 unategemea matokeo ya uchaguzi mdogo wa wadi ya Mumbuni Kaskazini.Katika hotuba yake ya hisia kali mjini Machakos, Kalonzo alitoa ombi lisilo la kawaida … Read more