Starlets Wafuzu WAFCON 2026: Kila Mchezaji Apokea KSh1 Milioni Kutoka kwa Rais Ruto
Starlets Wafuzu WAFCON 2026 Timu ya taifa ya wanawake, Harambee Starlets, imeweka Kenya kwenye ramani ya soka la Afrika baada ya kufuzu kwa Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, kufuatia ushindi wa jumla wa 4–1 dhidi ya Gambia.Ushindi huu mkubwa umepelekea kila mchezaji kupewa shilingi milioni moja na Rais William Ruto kama … Read more