Dkt. Samia Aahidi Kuendeleza Uhuru na Furaha ya Watanzania – Mgombea Urais CCM Azindua Ajenda ya Maendeleo Endelevu Tanzania 2025
Dkt. Samia Aahidi Kuendeleza Uhuru na Furaha ya Watanzania Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuendeleza jitihada za serikali ya awamu ya sita katika kuhakikisha Watanzania wanaishi kwa uhuru, amani, na furaha.Akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika … Read more