Dkt. Samia Aahidi Makazi Bora kwa Watanzania Kupitia Mpango Maalum wa “Samia Housing Scheme”
“Samia Housing Scheme” Katika jitihada za kuhakikisha kila Mtanzania anaishi katika makazi salama, bora na ya kisasa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuimarisha sekta ya makazi kupitia mpango maalum unaoitwa “Samia Housing Scheme.”Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni za urais katika viwanja vya Kesha, Ilala, jijini Dar es Salaam … Read more