Serikali Yatangaza Nafasi Mpya 17,710 za Kazi kwa MDAs na LGAs – Wahi Kuomba Kabla ya Oktoba 29, 2025
Wahi Kuomba Kabla ya Oktoba 29, 2025 Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imetangaza nafasi mpya 17,710 za ajira katika Taasisi za Serikali (MDAs) na Mamlaka za Serikali za Mitaa (LGAs) kwa mwaka 2025.Tangazo hili limechapishwa rasmi na Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma … Read more