Padre Aliyepotea Apatikana Akiwa Hai Mkoani Ruvuma – Video ya Tukio Kamili Yazua Maswali Mpya
Padre Aliyepotea Apatikana Akiwa Hai Mkoani Ruvuma Ruvuma, Tanzania (Breaking News) — Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma limethibitisha kumpata Padre Camillus Nikata, wa Jimbo Kuu Katoliki la Songea na mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino Tanzania (SAUT) – Mwanza, baada ya kuripotiwa kupotea tangu Oktoba 9, 2025. Kwa mujibu wa taarifa rasmi kutoka … Read more