Ugonjwa Hadi Kifo: Safari ya Mwisho ya Mwalimu Julius Nyerere Ilivyokuwa
Ugonjwa Hadi Kifo Oktoba 14, 1999, ni tarehe ambayo Watanzania na Afrika kwa ujumla hawawezi kuisahau. Siku hiyo, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alifariki dunia katika Hospitali ya Mtakatifu Thomas (St. Thomas Hospital) mjini London, Uingereza.Kifo chake kilileta huzuni kubwa, si tu Tanzania bali pia kwa bara zima la Afrika, kwani kilikuwa ni … Read more