Paris, Ufaransa – Afisa Mkuu wa Japan Hukumiwa Kifungo kwa Kutazama Picha za Unyanyasaji wa Watoto
Paris, Ufaransa Paris, Ufaransa — Dunia ya michezo na utumishi wa umma nchini Japan imetikiswa baada ya Afisa Mkuu wa Shirikisho la Soka la Japan (JFA), Masanaga Kageyama, kuhukumiwa kifungo cha miezi 18 jela na kulipa faini ya euro 5,000 (sawa na KSh 785,000).Mahakama ya Ufaransa ilimkuta na hatia kwa kutazama picha za unyanyasaji wa … Read more