Ajali ya Moto Kibaha: Watoto Watatu Wafariki Dunia Katika Tukio la Kusikitisha
Ajali ya Moto Kibaha Ajali ya moto Kibaha leo imetikisa wakazi wa Wilaya ya Kibaha, Mkoa wa Pwani, baada ya watoto watatu kufariki dunia katika tukio la kusikitisha. Moto huo uliozuka majira ya saa 10:00 alasiri uliteketeza ghorofa ya juu ya nyumba moja katika Mtaa wa Kitende, Kwa Mfipa, na kusababisha vifo vya watoto watatu … Read more