Akothee Afunguka: “Watoto Wangu Wanapanda Ndege, Wenu Wakizembea Kwenye Pombe”
Akothee Afunguka Mwanamuziki na mfanyibiashara maarufu Akothee (Esther Akoth) amezua mjadala mkali mitandaoni baada ya ujumbe wake wa hivi karibuni uliolenga wakosoaji wake. Akiwa Uingereza mnamo Septemba 18, 2025, Akothee aliwaeleza wazi kuwa amewekeza katika malezi ya watoto wake, ambao sasa wanajitegemea, huku akiwakosoa wazazi wengine wanaoshindwa kuongoza familia zao. Katika ujumbe ulioenea kama viral … Read more